Posted on: February 4th, 2022
KITUO cha Afya cha Mkimbizi kilichopo kata ya Mkimbizi katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kinachojengwa kwa gharama ya Shilingi milioni 250 ambazo ni fedha za tozo ya miamala ya simu kinatarajia...
Posted on: January 27th, 2022
Na Mwandishi Wetu, Iringa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo, ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupanda miti ya matunda mashuleni na vyuoni ikiwa...
Posted on: January 26th, 2022
Na Mwandishi Wetu,Iringa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa Mkoani hapa imeshika nafasi ya pili kitaifa katika mashindano ya usafi wa mazingira kwa mwaka 2021.
Hayo yameelezwa leo (Januari 26) na...