Posted on: February 21st, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga, amesema kwa sasa hakuna mpango wa kuhamisha makaburi ya Mlandege kwa mlengo wa kuwahamishia wajasiriamali kufanya biashara katika eneo hilo
Hayo ameyasema...
Posted on: February 12th, 2022
WATUMISHI katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kuboresha utendaji wao wa kazi ili kuiletea maendeleo halmashairi hiyo.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada, alisem...