Posted on: August 21st, 2019
Kamati ya fedha na uongozi wa Manispaa ya Iringa inayoongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshiwa Alex Kimbe imetembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ukiwemo mradi wa ukarabati wa Shule ...
Posted on: August 15th, 2019
"Tujitahidi kusimamia miradi hii ya maendeleo kwani ni kwa faida yetu ya sasa na ya baadae" maneno haya yamesemwa na mwenyekiti wa kamati ya mipango na mazingira Ndugu, Frank Nyalusi katika ziara ya u...
Posted on: August 15th, 2019
Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Hamid Njovu amefanya kikao na wazazi wa wanafunzi katika shule ya Msingi Mapinduzi lengo likiwa kuwatia moyo wazazi na kuwaomba kuwa pamoja na serikali katika dh...