Posted on: February 24th, 2024
Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ikiongozwa na Diwani wa Kata ya Mkimbizi Mheshimiwa Eliud Mvela imefanya ziara ya kutembelea na kukagua baadhi ya Maduka yaliyopo Kata y...
Posted on: February 15th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Veronica Kessy amezitaka timu zilizopangwa kwa ajili ya kutoa chanjo sehemu mbalimbali, zijipange ipasavyo ili ziweze kuwafikia walengwa wote pasipo kukosa.
Kessy ...
Posted on: February 8th, 2024
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Paul Christian Makonda amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Kastori Msigala kushughulikia madai ya...