• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

RC IRINGA ATOA MAAMUZI SAKATA LA MACHINGA KUHAMIA MAKABURI YA MLANDEGE

Posted on: February 21st, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga, amesema kwa sasa hakuna mpango wa kuhamisha makaburi ya Mlandege kwa mlengo wa kuwahamishia wajasiriamali kufanya biashara katika eneo hilo

Hayo ameyasema leo alipohudhuria mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Iringa la kupitisha mapendekezo ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa

Aidha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada amesema pamekuwepo na hali ya kutoelewana baina Madiwani wenyewe lakini pia baina yake na wajasiriamali

Mhe. Ngwada amesema "suala hili limeleta mgawanyiko baina yetu sisi madiwani pamoja na maneno kwa wajasiriamali kuwa mimi ndio nakataa kuhamishwa kwa makaburi ya Mlandege na kuwa eneo la wajasiriamali”

Sambamba na hilo RC Sendiga amesema amefanikiwa kuzungumza na viongozi wa BAKWATA pamoja na wazee wa mila juu ya swala hilo na kuwaomba wao pamoja na madiwani hao kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwatenga machinga kwenye maeneo husika na kuwaomba kama itafikia hatua ya kutaka makaburi hayo kuhamishwa basi taratibu zote za zitafatwa kuanzia ngazi ya chini

“hoja za msingi zitakapokuja na taratibu zikifatwa basi makaburi yatahamishwa kama sheria itakavyo wataka hivyo sioni haja ya kuweka migogoro isiyo ya lazima na kuacha kuwatumikia wananchi waliowachagua kwa kuwaletea maendeleo” Mhe. Queen amesema

Mwisho Mkuu wa Mkoa amewataka Madiwani hao kumsaidia kutunza utulivu wa jambo hilo, Amani na kutekeleza maelekezo ya Rais kwa kuwapanga wajasiriamali na kama kutakuwa na jambo lolote wafike ofisini kwake kwa mazungumzo ya kina Zaidi na sio kukimbilia katika  vyombo vya habari na kuzungumza bila kuwa na taarifa za uhalisia

Naye Meya akamshukuru RC kwa kuitikia wito huo na kwa majibu aliyoyatoa kuhusu suala hilo

“Niwaombe Madiwani wenzangu mjadala wa makaburi uiishe kuanzia leo na tuendelee kushirikiana vyema katika kuwatumikia wannchi kuleta maendeleo katika Manispaa yetu” Mhe. Ngwada alimalizia kwa kusema hayo.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa